Francis Alitaka Barua Iliyopiga Marufuku Ekaristi Kwa Waprotestanti Kuwa "Siri"
Edward Pentin alidhibitisha ripoti kwamba Shirika la Mafundisho ya Imani limetupilia mbali pendekezo la Maaskofu Wajerumani kuwapa Waprotestanti Ekaristi [ingawaje hili ni jambo la kawaida nchini humo].
Aliyempa Pentin habari hizo aliongeza kuhusu suala hili, hakuna "tofauti" kati ya Askofu Mkuu Ladaria na mtangulizi wake Kadinali Gerhard Müller.
Pentin amegubdua kwamba "Papa anaitaka barua [inayopiga marufuku pendekezo hilo] ibaki kuwa siri kwa sababu zisizojulikana".
Picha: © European Parliament, CC BY-NC-ND, #newsNmaxqrapam
Familia Ingalls - T01 - Episodio Piloto Parte 2
Familia Ingalls - Temporada 1 - Episodio Piloto Parte 2
Para ver en familia
Me Encanta este capítulo.
Sinodi La Amazon: Bikra Maria Alimwambia Mtakatifu Bridget Kwamba Papa Atakayetupilia Mbali useja, Ataenda Jahanamu.
Picha: © gloria.tv, CC BY-ND, #newsDgykwtpshg
Papa anakufa, Maisha Marefu kwa Papa!
Papa anakufa, Maisha Marefu kwa Papa!
Katika hali ya kutokuwa na uhakika na huzuni, mwangaza wa mwisho wa maisha ya papa mmoja unaashiria uwasili wa haraka wa mwingine – kama alivyokumbuka Mtakatifu Yohani Paulo II katika nyakati zake za mwisho. Papa Bergoglio, ambaye amewekwa chini ya utawala unaoongozwa na kardinali wenye utata – baadhi yao kujitajia “antipapa” (Kardinali Martini) na wengine ambao wamekubali kuwa walikuwa wa kundi linalojulikana kama “mafya takatifu”, yaani Kikundi cha Sankt Gallen (Kardinali Danneels) – amekumbwa na hali mbaya kiasi kwamba uvumi kuhusu uwezekano wa kuaga kwake duniani umeanza kusambaa.
Wakati huo huo, Idara ya Mawasiliano ya Vatikani inaendelea kutoa taarifa zisizo kamili na zilizo na upendeleo. Je, lengo ni lipi? Labda ni kuwafanya waumini wabaki katika hali ya kutokuelewa, kulinda maslahi ya ndani, au tu kuhifadhi uhuru wa kuchukua hatua mbele ya uwezekano wa kuondoka kwa Bergoglio, labda kupitia kukatishwa kwa madarakani au kwa sababu ya …Zaidi
Kashfa Mpya Huko Vatikani
Naibu Mkurugenzi mkuu katika benki la Vatikani, Giulio Mattietti, alifutwa kazi manmo tarehe 27 mwezi Novemba na hata kusindikizwa nje ya Vatikani.
Hakuna sababu zilizotolewa kuhusiana na hatua hizi kali. Mwajiriwa mwingine katika benki hilo alitendewa vivyo hivyo. Mattietti ni daktari wa Fizikia na mwandishi wa programu za kompyuta. Alifanya kazi katika benki hilo tangu mwaka wa 1997.
Vyombo vya habari ambavyo humuunga mkono Francis vilipendekeza kuteuliwa kwake kuwa naibu mkurugenzi mkuu mnamo mwezi Novemba mwaka wa 2015 "kama suluhu la ndani ili kulizindua upya benki hilo."
Picha: © Jeffrey Bruno, Aleteia, CC BY-SA, #newsOuigznldei
Familia Ingalls - T01C06 - El Amor de Jony Jonson.
Familia Ingalls - T01C06 - El Amor de Jony Jonson
Cómo le puede gustar el caitudo a Laura! Para gustos los colores!!! ... jajajaja! ....porque no le das un buen bofetón!!! jajajaja!!!!pobre Laura! , El chico gusta de Mary!!!!
Para ver en familia
Kutokuwepo Kwa Kadinali Pell Ni Mojawapo Wa Sababu Ya Kufeli Kwa Marekebisho Ya Vatikani.
Picha: © gloria.tv, CC BY-ND, #newsAqeenwygww
Homilia o. Z. J. Kijasa OFMConv....
zkijas.comIV Niedziela Wielkanocna 21.04.2024 Ewangelia (J 10, 11-18)
Ewangelia (J 10, 11-18)
Jezus jest dobrym pasterzem
Jezus powiedział:
«Ja jestem dobrym pasterzem. Dobry pasterz daje życie swoje za owce. Najemnik zaś i ten, kto nie jest pasterzem, którego owce nie są własnością, widząc nadchodzącego wilka, opuszcza owce i ucieka, a wilk je porywa i rozprasza; najemnik ucieka, dlatego że jest najemnikiem i nie zależy mu na owcach.
Ja jestem dobrym pasterzem i znam owce moje, a moje Mnie znają, podobnie jak Mnie zna Ojciec, a Ja znam Ojca. Życie moje oddaję za owce. Mam także inne owce, które nie są z tej zagrody. I te muszę przyprowadzić, i będą słuchać głosu mego, i nastanie jedna owczarnia, jeden pasterz.
Dlatego miłuje Mnie Ojciec, bo Ja życie moje oddaję, aby je znów odzyskać. Nikt Mi go nie zabiera, lecz Ja sam z siebie je oddaję. Mam moc je oddać i mam moc je znów odzyskać. Taki nakaz otrzymałem od mojego Ojca».
Obraz Boga jako pasterza swojego ludu był już szeroko obecny w Piśmie Świętym Starego Testamentu i pojawia się też w Nowym.
Dobroć …
Christopher Ferrara Ahitilafiana Na Kardinali Muller
Mnamo Juni 1, msemaji Mmarekani ambaye pia ni wakili, Christopher Ferrara alitoa maoni kuhusu madai yake Kardinali Muller ya hivi maajuzi kwenye kituo cha EWTN, kuwa "ni jambo lisilowezekana kamwe kuwa Papa, kama mridhi wa Mtakatifu Petero, msaidizi mkuu wa Yesu Kristu Kanisani ulimwenguni kote, kuwasilisha mafundisho yanayopinga wazi wazi maneno ya Yesu."
Ferrara anapinga kuwa sio jambo lisilowezekana Papa kufunza makosa kwani Papa si mtu asiye na makosa kikamilifu na huenda akaanguka vishawishini vya uzushi wa kibinafsi. Anatoa mifano ya kihistoria kama vile Papa Yohana wa 22 aliyesisitiza kuwa Wabarikiwa ambao waliaga huwa hawamwoni Mungu hadi nyakati za mwisho.
Ferrara anamalizia, "Inatosha kusema kuwa Upapa wa Bergoglian ni onyesho kuu na la kipekee kihistoria la mipaka mikali ya Papa kutokuwa na makosa, ambayo hapa hupitwa karibu kila siku."
Picha: © Jeffrey Bruno, Aleteia, CC BY-SA, #newsNgreraayaq
Familia Ingalls T01C11 El Mapache.
Familia Ingalls T01C11 El Mapache
Para ver en familia
Fam. Ingalls.
series del recuerdo
Kardinali Kasper: Ni Lazima Kanisa La Kikatoliki Liwe la Kiprotestanti
Kardinali mzingatifu Walter Kasper, mshauri wa karibu wa Papa Francis, limeandika jarida la L'Osservatore Romano, kuwa "mfumo wa kiekumeni unafaa kuundwa chini ya masharti yafuatayo: Ukatoliki wa Kiinjili na Katoliki ya Kiprotestanti," Kulingana na yeye Waprotetanti na Wakatoliki wote ni wana wa "mwili ulio mmoja na wa kipekee wa Kristu, ambao ndio Kanisa." Kasper anamaliza kwa kusema, "Iwapo hatutaki Makanisa yapungue hata zaidi, tunafaa kulenga kiini." Hakuweka bayana alichokiita "kiini".
Ujuzi unaonyesha kuwa, mapendekezo ya Kasper ni maagizo ya mashirika ambayo yanadidimia ama ya walio na umri mkubwa sana.
Picha: Walter Kasper, © Mazur/catholicchurch.org.uk, CC BY-NC-SA, #newsSdsrsnkzln